Bosi wa Cheslea, Roberto Di Matteo (RDM) amemlilia bosi wa timu hiyo Roman Abramovich afanya awezalo ahahakishe beki wa timu anayemaliza muda wake klabuni hapo Ashley Cole anabaki katika timu hiyo kwa kupewa mkataba mwingine.

Mkataba wa beki huyo unaishi mwaka ujao katika majira ya joto na hayuko tayari kupewa mkataba wa maka mmoja kama kanuni na sheria ya timu hiyo katika kuwapa mikataba wachezaji waliokwisha timiza miaka zaidi ta thelathini, 30.


Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.