Timu ya Bayern Munich kutoka Ujerumani jana usiku ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Klabu bingwa ya Ulaya. Walikuwa ni wachezaji  Arjen Robben na Mario Mandzukic waliofanikiwa kuifungia timu hiyo bao moja  kila mmoja na kufanikiwa kuipatia timu yao ya Bayern  ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya mahasimu wao wakuu wa soka la ujerumani timu ya Borrusia Dortmund.

Itakumbukwa katika fainali zilizopita zilizofanyika katika uwanja wa Allianze Arena wa Bayern Munich timu hiyo ilishindwa kutwaa kombe hilo mbele ya timu ya Chelsea ya mjini London na Arjen kukosa mkwaju wa penati katika muda wa nyongeza na pia  katika fainali za mwaka 2010 dhidi ya Inter Milan mchezaji huo pia alikuwepo na katika mashuti yake 24 aliyoyapiga sawa na jana hayakufanikiwa kupata bao mpaka alipofanikiwa kupiga shuti lake la 25  ambalo  ndilo liliflofanikiwa kuondoa mzimu wa kukosa kufunga katika fainali zote mbili alizofanikiwa kuichezea timu hiyo na kuipatia timu yake goli la ushindi.


Arjen Robben
Nyota wa Mchezo wa jana , Arjen akiwa ameshikilia kombel Ulaya kwa furaha pasipo kifani.

THAT MAN AND ROBBEN ... the two Bayern heroes celebrate the winner


Wafungaji wa mabao yaliyoipatia timu ya Bayern Ubingwa jana, Arjen Robben na Mario Mandzukic wakishangilia kwa pamoja.



BATTLE ... Dortmund's Lukasz Piszczek tries to beat Franck Ribery to the ball



QUICK START ... Blaszczykowski was one of several Dortmund players to miss an early chance
Mchezaji wa Borussia Dortmund, Blaszczykowski akisikitia mara baada ya kukosa kufunga.




WHAT A FELLER ... Roman blocks Robben's effort



FIRED UP ... Bayern Munich fans set off flares in the stands

Mashabiki wa Bayern Munich wakilipuka kwa furaha kwa kutimu yao kushinda kombe la klabu bingwa ya Ulaya.


































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.