Kocha mpya wa Mabingwa wa Uingereza aliyetangazwa jana kuchukua mikoba ya kocha wa sasa Sir Alex Ferguson ambaye ametangaza kungatuka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huukapo mwisho wa msimu huu.

David Moyes ametanabaisha nia yake ya kuwaleta Old Trafford wachezaji aliokuwa anafanya nao kazi akiwa Everton , Leighton Baines na kiungo mchezaji Maroune Fellain ,kwa wale wanaofuatilia ligi ya Uingereza mchezaji mwenye nywele ndefu kuliko wote katika ligi hiyo.

 David Moyes with Marouane Fellaini
 David Moyes akiwa na Maroune Fellain

 BAI WINDOW ... Moyes could pounce for Leighton Baines in the summer transfer period
 David Moyes akiwa na Leighton Baines




































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.