Mabingwa wa msimu uliopita wa Uhispania timu ya Real Madrid wametangaza nia yao ya kumtaka Mchezaji machachari wa Mancester United mzaliwa wa Mexico , Javier Hernandz kwa dau lolote kama njia mbadala ya kubalishana na Cristiano Ronaldo alionyesha nia ya kurudi Uingereza.

Itakumbukwa ya kwamba kulingana na tetesi zilizogaa kwa sasa ulimwenguni ni kuwa tim u ya Manchester United inataka kumrudisha mchezaji wao Crsitiano Ronaldio na Real kwa ada ya Paundi milioni 65.

 Javier Hernandez
Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.