Mchezaji David Beckham (38) ambaye majuzi alifanikiwa kuandika rekodi kama mchezaji wa kwanzaa toka nchini Uingereza kufanikiwa kutwaa makombe ya michuano ya Ligi nne tofauti duniani hatimaye ametangaza rasmi ya kuwa mara baaday ya mchezo wa mwisho wa ligi  mnamo tarehe 26 mwezi huu ndio utakuwa mchezo wake wa mwisho katika soka. Japokuwa mchezaji huyo alikuwa ameahidiwa nafasi nyingine tena ya kuon geza mkataba wake klabuni hapo amesema amefikia uamuzi huo akiwa anataka kuachana na soka akiwa bado na kiwango cha juu.

Itakumbukwa ya kwamba DAvid Beckham ambaye alianzia maisha yake ya soka tangia akiwa na umri wa miakaa 11 akiwa na timu ya Manchester United amepata kuzichezea timu tano tofauti duniani ikiwamo ni pamoja na Manchester United, Real MAdrid ya Spain, LA Galaxy ya Marekani, Ac Milani ya Italy na mwisho kabisa kumalizia soka lake na timu mabingwa wa sasa wa Ligue 1 ya Ufaransa , timu ya Paris St. Germany, Beckam ameichezea Manchester mechi 394 na kufunga jumla ya magoli 85 na pia aliichezea timu yake ya taifa mechi 115 na kuafanikiwa kuifungia magoli 17 tangia alipoanza kuichezea mnamo mwaka  1996.


Itakumbukwa pia ya kwamba kocha aliyemuwezesha David Beckham  kufikia mafanikio yake yoye hayo, Sir Alex Ferguson pia ametangaza kustaafu ifikapo mwishoni mwa msimu huu.


David Beckham has retired

Beackham akiwa ndni ya jezi ya timu yake ya sasa, Paris St Germany

David Beckham playing for Manchester United

Au revoir David: England icon David Beckham is set to announce his retirement from football


Becks traded his No7 United shirt for 23 in Madrid



David Beckham celebrates with sons Brooklyn, Cruz and Romeo after winning the MLS Cup in 2012




David Beckham and Gary Neville played together for both Manchester United and England


Marafiki wa kweli, Beckham na Gary Neville wakiwa katika timu ya Taifa.

All photos by www.thesun.co.uk




































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.