Kocha mtarajiwa na anayetajwa kurudi katika klabu ya Chelsea mwezi wa saba, Jose Mourinho amesikika akitanabaisha ya kwamba angependelea kuwaona wachezaji wawili  wakongwe wa klabu hiyo, Frank Lampard  34 na John Terry mwenye miaka 32 wakibakia katika timu hiyo.

Itakumbukwa ya kwamba  wakati wa ukocha wake akiwa na timu hiyo Mourinho almaarufu kama "The Special One" alifanikiwa kupata mafanikio makubwa akiwa kama mengi kuliko kocha mwingine yule aliyewahi kuingoza timu hiyo. Mourinho alifanikiwa kuchukua makombe 2 ya Ligi kuu, makombe 2 ya FA and makombe matatu ya kombe la Ligi (League Cups), mbali na kuwahitaji wakongwe hao pia Mourinho anawahitaji wachezaji Ramadel Falcao kutoka kwa mahasimu wake wakuu wa sasa  timu ya  Athletico  Madrid na Xavi Alonso kutoka timu yake ya sasa ya Real Madrid.

Itakumbukwa usiku wa Alhamisi mara baada ya timu ya Chelsea kufanikiwa kuingia fainali ya kombe la Europa mashabiki wa Chelsea waliliibuka tena na jina Mourinho tena na hii inaonyesha ni kwa jinsi gani kocha huyu anayopendwa Stamford Bridge.




OLD PALS ACT ... Jose Mourinho celebrates with Frank Lampard and John Terry
Mourinho enzi ya utawala wake akiwa na wakongwe wa klabu hiyo kwa sasa Frank and John.


Je kwani Mashabiki wa Timu ya Chelsea hawamsahau Mourinho?????



NOTABLE CHELSEA MANAGERS, BY WIN PERCENTAGE
Manager
Games Played
Win Percentage
Trophies Won
Guus Hiddink
22
73
One FA Cup
Jose Mourinho
185
67
Two League Titles, Two FA Cups, Three League Cups
Avram Grant
54
67
None
Carlo Ancelotti
109
61
One League Title, One FA Cup
Roberto Di Matteo
42
57
One Champions League, One FA Cup
Gianluca Vialli
142
53
One FA Cup, One Cup Winners' Cup, One League Cup, One Super Cup
Rafa Benitez
38
53
None (In the Europa League final)
Dave Sexton
373
44
One FA Cup, One Cup Winners' Cup
Ted Drake
424
37
One League Title


Opposition: Chelsea fans in the game after Mourinho was sacked in 2007


Still loved: Chelsea fans unveil a banner in support of Mourinho at the game against West Brom

The final word: Is Roman Abramovich (right) prepared to let Mourinho back into Stamford Bridge?


End of days: Mourinho's reighn at Real Madrid seems to be coming to an end

Jose akiwa Jukwaani kwenye mchezo baina yao na Borrusia, sura inaonyesha siku zake zinakaribia ukingoni na Real Madrid


Antics: Mourinho's off-the-field actions, such as throwing his title-winning medal into the crowd, endeared him to the Chelsea faithful
Mashabiki wakichangamkia medali ya ushindi ya Jose aliyowarushia mara baada ya kushinda taji la Ligi kuu ya Uingereza.


Simply the best: Nobody has been as successful as Jose Mourinho (centre) at Chelsea


















































































Labels:

Post a Comment

Author Name

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.